Naombeni elimu kuhusu kutengeneza lotion na serum

Ma mee

Member
Joined
May 20, 2021
Posts
53
Reaction score
84
Habari wapendwa nilikuwa naomba kwa mwenye kufahamu namna ya kutengeneza lotion za kun'garisha serum lotion za kuondoa sugu nk. Anipe darasa au connection wapi wanafundisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…