Naombeni faida za kufungua business accounts

Joined
Mar 11, 2017
Posts
25
Reaction score
8
Wadau wa biashara,

Naombeni msaada wa umuhimu au faida nitakazozipata kwa kufungua business account yan akaunti ya biashara benki ila kabla ya hilo je naweza kufungua as a personal? Yan binafsi au ni kampun ndo ina sifa ya kufungua business account?

Msaada kwa mwenye kuelewa hili.
 
itategemea na kiwango utakachotaka kuweka kwenye hiyo account yako
 
mhn! kuna gharama ya kuendesha accaount hii japo sio kubwa kivilee ukilinganisha na manufaa yake baadaye na hasa unaposhindania biashara au kutaka mkopo kwa biashara yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…