NAOMBENI JIBU LA SWALI LANGU WANA JF

Dulla Same

Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
40
Reaction score
13
Samahani Kwa usumbufu,

Naitwa ABDALAH HAMISI, Nimemaliza kidato cha nne mwaka 2014 nikapata "C" mbili, "D" moja, "E" tatu na "F" moja.... Kwamaana nina GPA ya 0.7

Swali langu: Naweza kujiunga na chuo cha TIA kupitia alama hizo???
 
Samahani Kwa usumbufu,

Naitwa ABDALAH HAMISI, Nimemaliza kidato cha nne mwaka 2014 nikapata "C" mbili, "D" moja, "E" tatu na "F" moja.... Kwamaana nina GPA ya 0.7

Swali langu: Naweza kujiunga na chuo cha TIA kupitia alama hizo???

kwa nini usiingie kwenye tovuti yao uangalie vigezo bofya hapa http://tia.ac.tz/
 
Hapana hauwezi ni mpaka uwe na d (4)
Zamani kulikua na kitu kinaitwa foundation course (kutafuta marks za kuanzia certficate) ila ilitolewa mwaka 2016 mpk Leo sijasikia tena kama ipo
Kama unaweza rudi shule (kufanya mtihani) urekebishe cheti’ utafute credit moja hapo hata kma ni d except ya somo la dini tu
Hapo wewe bado credit moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…