naombeni jibu!

yaani umeshindwa kutofautisha maziwa na tui la nazi?????????????????????????????????
 
Kama mtu mzima hua sina kawaida ya kui'disgrade post ya memberment , lakini hii kiasi hujajitendea haki katika kufikiri kabla hujaipost ! Unaulizaje harufu ambazo hapa hazisikiki na sie tuzijadili ?
Au zidaunlodi uzipest humu nasie tuzinuse! Ndiyo tuchangie .
 
kama ww ni mwanaume kamil unaogopa nn kumwambia msela wako? Labda jamaa yako alikuona ww ni mdhaifu sana ndo maana anakufanyia hvyo.
 
Kama vipi na wewe mlipizie toa/weka haja kubwa kitandani halafu vaa sura ya kazi
 
jombi mweke wazi usimuogope uyo kwan chumba c chako au mmeshare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…