Naombeni kazi yeyote wakuu mliopo Dodoma

Naombeni kazi yeyote wakuu mliopo Dodoma

Mtu Mbadi

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2024
Posts
403
Reaction score
457
Kama kichwa cha habari kinavosomeka, Kijana wenu nimekuja tena kuomba msaada wa kazi yeyote kwa mtu yeyote atakaeguswa.

Elimu yangu ni Bachelor of Science in Forestry (2022) , lakini nipo tayari kwa kazi au mishe yeyote halali itakayonisaidia ingiza kipato (Hata za saidia fundi nipo tayari au sehemu nyingine za ujenzi) , Maana mchagua jembe si mkulima.

Wakuu mliopo Dodoma au hata kama upo sehem nyingine lakin unaweza nisaidia kupata kazi au mishe yeyote hapa Dodoma I will be grateful.

Wasalam,
Namba yangu hii hapa : 0683877594
 
Usitafute kazi ukiwa na njaa kunq kazi nilipata nikiwa na njaa mshahara 80elfu niliikimbia
Mkuu hata hiyo ya mshahara kidogo atleast huku ukiendelea tafuta nyingine, kuliko kukosa kabisa.
 
We mtu wa forest unakaa Dodoma huko na huo ukame, ebu nenda hata Mufindi, Iringa huko.
 
Kama kichwa cha habari kinavosomeka, Kijana wenu nimekuja tena kuomba msaada wa kazi yeyote kwa mtu yeyote atakaeguswa.

Elimu yangu ni Bachelor of Science in Forestry (2022) , lakini nipo tayari kwa kazi au mishe yeyote halali itakayonisaidia ingiza kipato (Hata za saidia fundi nipo tayari au sehemu nyingine za ujenzi) , Maana mchagua jembe si mkulima.

Wakuu mliopo Dodoma au hata kama upo sehem nyingine lakin unaweza nisaidia kupata kazi au mishe yeyote hapa Dodoma I will be grateful.

Wasalam,
Namba yangu hii hapa : 0683877594
mkuu vipi umefanikiwa kipata kazi au kibarua chochote hapa dodoma
 
Ukiwa na shida sana, au at very low point usitafute kazi ...yaani muajiri asijue unataka kazi Kwa kuwa una shida ....hiyo kazi utapata na Kuna siku itakushinda ... honestly of speaking...lakini anyway, the way utaona ndivo hivo
 
Back
Top Bottom