Naombeni kitabu kitakachobadilisha mindset yangu

Naombeni kitabu kitakachobadilisha mindset yangu

hermanthegreat

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,274
Reaction score
3,282
Wakuu,

Nahitaji kuimarisha mahusiano yangu na watu wengine lakini kuna kitu huwa kinanikwamisha nacho ni negativity.

Hili limekuwa serious problem wakuu, Nikikutana na watu wapya huwa nakubalika kwa haraka kisha nawa dominate lakini influence hio haidumu kwa muda mrefu kwasababu wengi huwa najikuta napishana nao kwa kufikiri, tatizo langu kubwa ni negativity yaani nakosoa zaidi kuliko kujenga. Pia inaniwia vigumu mimi kujisubmit au kujinyenyekeza kwa watu hasa wa juu yangu.

Huwa najaribu kubadili mienendo Mingi kwenye maisha ila hili la mindset limenishinda.

Naombeni vitabu vitakavyobadili jinsi navyowaza. Pia kama kuna mbinu zingine Naombeni wakuu.

Asanteni
 
Wakuu,

Nahitaji kuimarisha mahusiano yangu na watu wengine lakini kuna kitu huwa kinanikwamisha nacho ni negativity.

Hili limekuwa serious problem wakuu, Nikikutana na watu wapya huwa nakubalika kwa haraka kisha nawa dominate lakini influence hio haidumu kwa muda mrefu kwasababu wengi huwa najikuta napishana nao kwa kufikiri, tatizo langu kubwa ni negativity yaani nakosoa zaidi kuliko kujenga. Pia inaniwia vigumu mimi kujisubmit au kujinyenyekeza kwa watu hasa wa juu yangu.

Huwa najaribu kubadili mienendo Mingi kwenye maisha ila hili la mindset limenishinda.

Naombeni vitabu vitakavyobadili jinsi navyowaza. Pia kama kuna mbinu zingine Naombeni wakuu.

Asanteni
Atomic habits
 
Wakuu,

Nahitaji kuimarisha mahusiano yangu na watu wengine lakini kuna kitu huwa kinanikwamisha nacho ni negativity.

Hili limekuwa serious problem wakuu, Nikikutana na watu wapya huwa nakubalika kwa haraka kisha nawa dominate lakini influence hio haidumu kwa muda mrefu kwasababu wengi huwa najikuta napishana nao kwa kufikiri, tatizo langu kubwa ni negativity yaani nakosoa zaidi kuliko kujenga. Pia inaniwia vigumu mimi kujisubmit au kujinyenyekeza kwa watu hasa wa juu yangu.

Huwa najaribu kubadili mienendo Mingi kwenye maisha ila hili la mindset limenishinda.

Naombeni vitabu vitakavyobadili jinsi navyowaza. Pia kama kuna mbinu zingine Naombeni wakuu.

Asanteni
Secret by Rhoda
 
Mkuu, huitaji kitabu chochote, kwa sababu umeshalijuia tatizo lako, unachohitaji wewe ni kufanya maamuzi tu ya kuachachana na negativity. Kama unabisha nenda kasome kitabu kinaitwa 'The power of positive Thinking' ameandika Dr. Norman Vincent Peale.
 
Wakuu,

Nahitaji kuimarisha mahusiano yangu na watu wengine lakini kuna kitu huwa kinanikwamisha nacho ni negativity.

Hili limekuwa serious problem wakuu, Nikikutana na watu wapya huwa nakubalika kwa haraka kisha nawa dominate lakini influence hio haidumu kwa muda mrefu kwasababu wengi huwa najikuta napishana nao kwa kufikiri, tatizo langu kubwa ni negativity yaani nakosoa zaidi kuliko kujenga. Pia inaniwia vigumu mimi kujisubmit au kujinyenyekeza kwa watu hasa wa juu yangu.

Huwa najaribu kubadili mienendo Mingi kwenye maisha ila hili la mindset limenishinda.

Naombeni vitabu vitakavyobadili jinsi navyowaza. Pia kama kuna mbinu zingine Naombeni wakuu.

Asanteni
Book name : who will cry when you die.
 
Nenda na "48 laws of power" cha Robert Green. Nakushauri binadamu yyte yule hapendi kuwa dominated na mtu Fulani lazima atakataa hiyo Hali, hivyo nakushauri soma hicho kitabu, kama si mvivu wa kusoma basi kitakusaidia kidogo, usilazimishe kukubalika bali wakukubali automatically wao wenyewe.
 
Soma Biblia kitabu cha Ayubu.

Uone jinsi Mungu anavyoweza kukuinua na kukuchanachana na kisha kukuinua tena.
 
Kuhusu kudili na watu waliokuzidi vyeo au wa juu yako basi usijifanye ww ni smart sana kuzidi wao, unajua binadamu ni watu wenye kubadilika sana kuendana na Hali zao, sometimes hata juhudi na matunda yako kazini inabidi uwamwagie sifa wa juu yako hii itakusaidia kuondoa mashaka juu yako kuhusu nafasi zao hivyo muda sahihi ukifika utapanda juu tu taratibu, cha msingi ni uvumilivu.
 
Wakuu,

Nahitaji kuimarisha mahusiano yangu na watu wengine lakini kuna kitu huwa kinanikwamisha nacho ni negativity.

Hili limekuwa serious problem wakuu, Nikikutana na watu wapya huwa nakubalika kwa haraka kisha nawa dominate lakini influence hio haidumu kwa muda mrefu kwasababu wengi huwa najikuta napishana nao kwa kufikiri, tatizo langu kubwa ni negativity yaani nakosoa zaidi kuliko kujenga. Pia inaniwia vigumu mimi kujisubmit au kujinyenyekeza kwa watu hasa wa juu yangu.

Huwa najaribu kubadili mienendo Mingi kwenye maisha ila hili la mindset limenishinda.

Naombeni vitabu vitakavyobadili jinsi navyowaza. Pia kama kuna mbinu zingine Naombeni wakuu.

Asanteni
Tatizo lako wahenga walisema tu jifanye mjinga basi. Huitaji kwenda kusoma mavitabu utapoteza muda wako bure tu. Kuna topic nyingine acha watu washinde.... hakuna kitu kilicho sahihi chini ya jua so ukisema utakosoa kila kitu utakosoa vingapi.....?. Ili mradi hakikuathiri we kubaliana navyo tu. 1 + 1 = 3 sawaaaa tawire ndio maisha yanataka hivyo ......am talking from experience
 
Wakuu,

Nahitaji kuimarisha mahusiano yangu na watu wengine lakini kuna kitu huwa kinanikwamisha nacho ni negativity.

Hili limekuwa serious problem wakuu, Nikikutana na watu wapya huwa nakubalika kwa haraka kisha nawa dominate lakini influence hio haidumu kwa muda mrefu kwasababu wengi huwa najikuta napishana nao kwa kufikiri, tatizo langu kubwa ni negativity yaani nakosoa zaidi kuliko kujenga. Pia inaniwia vigumu mimi kujisubmit au kujinyenyekeza kwa watu hasa wa juu yangu.

Huwa najaribu kubadili mienendo Mingi kwenye maisha ila hili la mindset limenishinda.

Naombeni vitabu vitakavyobadili jinsi navyowaza. Pia kama kuna mbinu zingine Naombeni wakuu.

Asanteni
Soma HIVI MKUU: –

1.THE POWER OF POSITIVE THINKING
2.HOW TO STOP WORRYING AND START LIVING
3.HOW TO TALK TO ANYONE
4.POWER OF HABITS
5.THE FIRST MINUTES

You will never be the same.
 
Wakuu,

Nahitaji kuimarisha mahusiano yangu na watu wengine lakini kuna kitu huwa kinanikwamisha nacho ni negativity.

Hili limekuwa serious problem wakuu, Nikikutana na watu wapya huwa nakubalika kwa haraka kisha nawa dominate lakini influence hio haidumu kwa muda mrefu kwasababu wengi huwa najikuta napishana nao kwa kufikiri, tatizo langu kubwa ni negativity yaani nakosoa zaidi kuliko kujenga. Pia inaniwia vigumu mimi kujisubmit au kujinyenyekeza kwa watu hasa wa juu yangu.

Huwa najaribu kubadili mienendo Mingi kwenye maisha ila hili la mindset limenishinda.

Naombeni vitabu vitakavyobadili jinsi navyowaza. Pia kama kuna mbinu zingine Naombeni wakuu.

Asanteni

Wakuu,

Nahitaji kuimarisha mahusiano yangu na watu wengine lakini kuna kitu huwa kinanikwamisha nacho ni negativity.

Hili limekuwa serious problem wakuu, Nikikutana na watu wapya huwa nakubalika kwa haraka kisha nawa dominate lakini influence hio haidumu kwa muda mrefu kwasababu wengi huwa najikuta napishana nao kwa kufikiri, tatizo langu kubwa ni negativity yaani nakosoa zaidi kuliko kujenga. Pia inaniwia vigumu mimi kujisubmit au kujinyenyekeza kwa watu hasa wa juu yangu.

Huwa najaribu kubadili mienendo Mingi kwenye maisha ila hili la mindset limenishinda.

Naombeni vitabu vitakavyobadili jinsi navyowaza. Pia kama kuna mbinu zingine Naombeni wakuu.

Asanteni
Hongera sana kwa kupata huu mwamko. Inaitwa Awakening , kuna msemo unasema ni pale tu mwanafunzi anapokua tayari ndipo mkufunzi hutokea. Amini sio tu kwa kupendekezewa vitabu, bali wewe mwenyewe utaanza kukutana na maandiko yatakayokusaidia.
Kwa mimi nina vingi vya kukupendekezea lakini kwa kuanzia nina recommend " As a man thinketh" cha James Allen
 
Nenda na "48 laws of power" cha Robert Green. Nakushauri binadamu yyte yule hapendi kuwa dominated na mtu Fulani lazima atakataa hiyo Hali, hivyo nakushauri soma hicho kitabu, kama si mvivu wa kusoma basi kitakusaidia kidogo, usilazimishe kukubalika bali wakukubali automatically wao wenyewe.
Jifunze pia kuhusu power cluster, or the three needs theory by David McClelland hii itakusaidia kuto wasikiliza motivation speakers japokuwa ni muhimu tujue una ujuzi gani ama unajuhusisha na ili tukupe maujanja zaidi Kwa maana humu tuna uelewa tofauti
 
Back
Top Bottom