M MILITARY Member Joined Feb 26, 2013 Posts 64 Reaction score 29 May 14, 2013 #1 Taarifa ya kamati ya Pinda kuhusu mtihani wa kidato cha nne,ilitakiwa kusomwa na mwenyekiti wa tume au na Lukuvi,kwa sababu bila kukosea mwenyekiti wa tume hiyo ni Profesa Sifuni Mchome. Naomba kuelewesha wana jamvi
Taarifa ya kamati ya Pinda kuhusu mtihani wa kidato cha nne,ilitakiwa kusomwa na mwenyekiti wa tume au na Lukuvi,kwa sababu bila kukosea mwenyekiti wa tume hiyo ni Profesa Sifuni Mchome. Naomba kuelewesha wana jamvi
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,540 May 14, 2013 #2 Hujui Lukuvi ndo wa kutoa muongozo...!! ukiwa ccm hakuna kitu kinaitwa protokali....,