Naombeni kufafanuliwa kuhusu hii kozi

Naombeni kufafanuliwa kuhusu hii kozi

Zegota

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2020
Posts
341
Reaction score
719
Nina mdogo wangu naona ananichanganya, yeye kasoma Diploma ya Telecom DIT lakini kwa sasa hataki kufanya shahada ya hiyo Telecom anasema anataka akasome shahada ya Industrial Engineering management chuo cha mzumbe.

Kwa vile mimi ndio namfund nilitaka kujua kuhusu sababu za uamuzi wake kwa vile telecom aliipenda mwenyewe na kwa nini sasa aiache, japo hajanipa majibu ya kuniridhisha lakini imebidi niheshimu uamuzi wake, sasa hapa nimejaribu kudownload TCU guidebook ya mwaka jana na huu naona zinagoma.

naombeni mnifahamishe, huyu kwa hiyo kozi yake aliyosoma diploma atakuwa na sifa za kusoma hii kozi anayotaka kwa ngazi ya shahada, then hiyo kozi inahusiana na mambo gani maana isije kuwa ninaitafsiri kwa namna tofauti..

Watu wa fani hiyo, wanafanya kazi maeneo yapi haswa?
 
Kwanini asome kozi ambayo italimit maeneo yake ya kufanya kazi.
 
TIME WILL TELL
Mshauri aombe (afanye application) kwa programme zote mbili then aone atapata ipi. Inaonekana dogo lako anaongozwa na mihemko ya fani zinazopiga pesa sasa kaona teleCom hailipi ndio kaamua kubadili gia hewani.
 
TIME WILL TELL
Mshauri aombe (afanye application) kwa programme zote mbili then aone atapata ipi. Inaonekana dogo lako anaongozwa na mihemko ya fani zinazopiga pesa sasa kaona teleCom hailipi ndio kaamua kubadili gia hewani.
Mkuu sijakuelewa, kwamba telecom haina pesa sasa
 
Sasa hiyo diploma aliyopiga kwa nini asiitendee haki kabla ya kwenda kusoma tena
 
Telecom kwa sasa soko lake la ajira limepungua sana so dogo itakuwa ameona aendane na upepo unavyotaka kuhusu Tz ya viwanda but naona ni vyema angeenda moja kwa moja kwenye kozi za engineering kama electrical, Biomedical, mechanical etc Ambazo znarelate na alichosoma Diploma kuendelea na Bach.
 
Back
Top Bottom