mudysquare Member Joined May 6, 2012 Posts 82 Reaction score 12 Mar 31, 2015 #1 Wazazi wakitengana na ukawa ugomvi wa umilikaji nyumba baba kaoa mwingine na nyumba ikiwa bado ipo chini ya baba na mama wakwanza na watoto je ni sahihi mahakama kuchukua uamuzi wa kuuza nyumba? Msaada jamani
Wazazi wakitengana na ukawa ugomvi wa umilikaji nyumba baba kaoa mwingine na nyumba ikiwa bado ipo chini ya baba na mama wakwanza na watoto je ni sahihi mahakama kuchukua uamuzi wa kuuza nyumba? Msaada jamani