Naombeni kujua hili jambo

mudysquare

Member
Joined
May 6, 2012
Posts
82
Reaction score
12
Wazazi wakitengana na ukawa ugomvi wa umilikaji nyumba baba kaoa mwingine na nyumba ikiwa bado ipo chini ya baba na mama wakwanza na watoto je ni sahihi mahakama kuchukua uamuzi wa kuuza nyumba? Msaada jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…