Naombeni kujua kazi ya cream mbalimbali zinazopatikana maduka ya vipodozi

Naombeni kujua kazi ya cream mbalimbali zinazopatikana maduka ya vipodozi

peterK2

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
293
Reaction score
91
Habari zenu wapendwa na ombeni kujuzwa hichi kitu lakini na tumaini majimbu mengi yata toka sana upande wa ke..naomben kujua kazi ya cream mbalimbali zinazo patikana maduka ya vipodozi..na kwann kuna baadhi ya watumiaji wana kuwa na rangi nzuri usoni yenye kuteleza na kupendeza kushinda sehemu zingine lakini kuna baadhi ya watumiaji wana rangi moja kuanzia chini hadi usoni.
 
Habari zenu wapendwa na ombeni kujuzwa hichi kitu lakini na tumaini majimbu mengi yata toka sana upande wa ke..naomben kujua kazi ya cream mbalimbali zinazo patikana maduka ya vipodozi..na kwann kuna baadhi ya watumiaji wana kuwa na rangi nzuri usoni yenye kuteleza na kupendeza kushinda sehemu zingine lakini kuna baadhi ya watumiaji wana rangi moja kuanzia chini hadi usoni.
Cc. Nyoshi Elsadaat, Christian Bela, Ben Kinyaiya, James Delicious, Wakongoman...
 
Nasikia kuna hadi vidonge ukinywa unakuwa mzungu mwili mzima ila sijajua mwisho wake unakuwaje?
 
Cream ukiitumia tofaut ni hatar sanaaa cha msingi umpate mtaalam Wa ngoz atakusharu kutokana na aina yako ya ngoz
 
Back
Top Bottom