Wadau salamu kwenu.
Naombeni kujua nitawezaje kujua kampuni halali ya kufanya malipo online. Niliwahi kununua kitabu online nilikoma. Majamaa wakaendelea kukata hela kwenye akaunti yangu kila wiki kwa viwango tofauti.
Nisaidie nitajuaje kampuni halali na fake.
Asanteni. Jumapili njema.