Naombeni kujua utaratibu wa sasa wa kuuza unga wa mahindi nje ya nchi

Siza Agropro

Senior Member
Joined
Oct 2, 2016
Posts
114
Reaction score
149
Nimepata wateja wa kununua unga wa mahindi nje ya Nchi,naomba kwa wale wanaofanya biashara hiyo,wanijuze utaratibu,hasa vibali ninavyotakiwa kuwa navyo,upatikanaji wake,wapi vinapatikana, wakati wa kusafirisha mzigo wa unga wa mahindi. Pia ningependa kuchua kama kuna ushuru nitatakiwa kulipa ninapofika mpakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…