Wakuu habari za hapa, natumaini mko salama,
Wakuu kuna watu wananifuata inbox facebook na kunishawishi nijiunge na hiyo Aim globe. Sasa mpaka naileta kwenu hapa in kwamba naogopa kuingia choo cha kike.Japo nimegoogle lakini bado sijapata shuhuda anitoe wasi wasi.
Ni hayo tuu wakuu.