Nàombeni kujuzwa kidogo kuhusu hapa wajuzi

Morg

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
1,301
Reaction score
1,788
Poleni na majukumu ya kila siku
Mm ningependa kujua utofauti uliopo baina ya Gari lenye ccc kubwa lkn kwenye speed linasoma 180 na kuna kampuni ya Germany car unakuta lina ccc ndogo lkn kwenye speed linasoma 260

Haya magari yakianzisha ligi kwa pamoja hili lenye ccc ndogo lkn lina speed kubwa linashinda na kumpiga huyu mwenye ccc kubwa lkn kwenye speed linasoma 180 hapo ndo pananichanganya


Najua humu kuna wajuzi kibao ningependa na nyie mshee uzoefu wenu hapa
 
Ukubwa wa engine (cc) sicho kigezo cha kuifanya gari ikimbie. Ukishajua hilo tutakua sawa naamini.
 
Umeelewa swali mzee baba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…