Habari za leo wadau Great Thinkers,
Sasa leo naombeni mnipe mwonozo maana nimechoka kugoogle mimi nimehitimu degree in civil engineering mwaka 2018 na nina GPA ya 3.1 na hapa nina wadau wangu wanaoishi USA na Canada, sasa wamenipa ofa nifanye application nione kama naweza kupata chap USA na CANADA. Ada watanilipia; shida ipo hapa kwenye kutafuta vyuo, kwenye internet mambo ni mengi nime -Google mpaka nimechoka.
Naombeni mnipe mbinu wadau kwa hizo datails zangu ni mbinu gan nitumie kupata vyuo japo niwatumie email ya kuomba scholarship kwa GPA yangu hii ya 3.1
Natanguliza shukran za dhati.
Sasa leo naombeni mnipe mwonozo maana nimechoka kugoogle mimi nimehitimu degree in civil engineering mwaka 2018 na nina GPA ya 3.1 na hapa nina wadau wangu wanaoishi USA na Canada, sasa wamenipa ofa nifanye application nione kama naweza kupata chap USA na CANADA. Ada watanilipia; shida ipo hapa kwenye kutafuta vyuo, kwenye internet mambo ni mengi nime -Google mpaka nimechoka.
Naombeni mnipe mbinu wadau kwa hizo datails zangu ni mbinu gan nitumie kupata vyuo japo niwatumie email ya kuomba scholarship kwa GPA yangu hii ya 3.1
Natanguliza shukran za dhati.