Naombeni kujuzwa !

Naombeni kujuzwa !

Zero One Two

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2007
Posts
9,346
Reaction score
3,028
Heshima zangu kwenu wana body wa Jf.

Naombeni mnijuze kuhusiana na hii course ya Bachelor of Engineering in Marine Engineer Technology kuhusu upatikanaji wa ajira zake, pia kama ni marktable katika hizi nchi zetu za maziwa makuu.
Chuo ambacho nataka kusomea ni DMI.

Asante wanabodi, na ni watakie siku njema.
 
Back
Top Bottom