Naombeni kukuulizeni jamani

Joined
Feb 19, 2013
Posts
26
Reaction score
11
ati kati ya procurement officer na accountant ni yupi bora na ni ipi course rahisi kuisoma, ipi rahasi kupata kazi na mishahara yake ikoje. Naombeni msaada wenu haraka iwezekanavyo.
 
kasome mkuu achana na masuala ya kazi kwa sasa kwani bahati upande wa ayo masomo ni jitihada zako tu ila procurement iko bomba kama ungepata muccobs kuna mdogo angu anaisoma by the way akuna kozi ngumu wala rahisi chuo bali jitihada zako tu ila waweza soma education ambayo ajira yake bado ipo wazi kila la kheri katika maisha yako ya chuo.
 
Kasome accounting kwa usalama wako.over
 
Zote nzuri hzoo! Ila kwa kuwa moja ndo inatakiwa nakushaur kasome account
 
Hamna rahisi hapo zote ni ngumu
Wote ni bora hapo ,na hamna kozi rahisi kama unavyodhania.
Kama utapenda Uhasibu ukimaliza mwaka wa tatu ,fanya mitihan ya CPA au ACCA ndo utaona utamu wa kazi yako ,Makampuni mengi binafsi ya madini wanapendeleaga walio na ACCA mishahara yao ni kati ya 5 to 8m.
Pia nakushauri usome kwanza umalize chuo manake nasikia pia kuna kushndwa kumaliza chuo.Maswala ya ajira baadaeeee.
 
Zote ni nzuri,ila issue ni kupata kazi!!
 
Zote ulizoulizia ngumu! Kama vipi kasome Ed MUM!
 
kwani wewe una malengo gani hapo baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…