Naombeni kuuliza kuhusu vipimo vya ugumba na utasa

KUNDULE

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
318
Reaction score
177
naombeni kujua iv wanavyompima mwanaume kujua mbegu zake kama zina uwezo wa kutunga mimba wanachukua hizo mbegu na kuzipima?na kama wanachukua wanachukuaje?
Pili kujua mwanamke ana uwezo wa kushika mimba pia wanachukua vipimo gani.naombeni msaada.
 
Sperm analysis means unaangalia parameter zifutaazo
1.volume-hii unaangalia wing wa sperm yaan ujazo kwa kawaida ni 2-5mls
2.colour-rang ya sperm
3.viscosity-hii ina maana mnyambululiko wa semen je ina vutika au ina katika katika..kwa kawaida ni lazma ifike 2cm
4.ph-kupima kama ni alkalin au ni acid
5.fructose -hii aina ya sugar kwenye sperm so tunaangalia kama ipo

6.sperm motility_kiangalia mbegu zina tembea na kama ndiyo kwa mwendo gan wa haraka au wa pole pole
7.sperm morphology _hapa tunaangalia je wana shape gan hutakuta weng hamna vichwa,wala mkia
8.sperm vitality_hapa tunaangalia uwezo wa sperm wanao ishi na wanaokufa baada ya kumwaga
9.sperm concentration _hapa tunaangalia uwing wa sperm je zipo za kutosha.kwa kawaida nilazma zifike altleast mil.5......
 
hivi 5mls ni kama kijiko au kikombe cha kahawa na je ukiwa unatoa zaidi ya 5mls nayo ni tatizo au.......
 
nashukuruni sana kwa majibu yenu kwaiyo nikienda hosptalini ili kuzipima sperm zangu wanazichukuaje au wananipa kidosho alafu namwagia nje alafu ndo zinachukuliwa na kupimwa?
 
nashukuruni sana kwa majibu yenu kwaiyo nikienda hosptalini ili kuzipima sperm zangu wanazichukuaje au wananipa kidosho alafu namwagia nje alafu ndo zinachukuliwa na kupimwa?
Ndo manake unapoambiwa upeleke stool[choo] uwa inakuwaje.
 


Mkuu Delzzy, umeelezea vizuri sana kitaalamu, namimi nimepata elimu kwa uzi huu. Mimi naomba kufahamu yafuatayo:

1. Kufanya kipimo cha ''Sperm Analysis'' ni bei gani? namaanisha ni gharama kiasi gani mtu akitaka kufanya kipimo hicho.

2. Kuhusu kipimo cha pH (kupima alkalin au acidity). Je kufanya kipimo hiki inagharimu kiasi gani? hapa namaanisha kucheck pH ya DAMU ya mwili.

Ahsante.
 
Hapana ukipima sperm analysis pH na hizo parameter zingne zote zipo ndan ya sperm analysis na hakikisha ukienda kupima lazma wakuandikie hizo paramiter zote sabab ndo sheria kitaalam...
Kupima sperm analysis ni sh.elfu 35 pale TMJ lakin sehemu nyingen inaweza kuwa bei zaid au pungufu inategemea na hospital

Sent from my SM-E7000 using JamiiForums mobile app
 
utazpataje izo sperm ili uweze kupma yte hayo!?
 
nashukuruni sana kwa majibu yenu kwaiyo nikienda hosptalini ili kuzipima sperm zangu wanazichukuaje au wananipa kidosho alafu namwagia nje alafu ndo zinachukuliwa na kupimwa?
Utapiga punyeto tu mkuu
 
Kuzipata Dr mmoja mie aliniambia ni bora ukafanya sex na mpenzi wako kisha ukikaribia kimwaga, unazimwagia kwenye ki container utapewa na Dr na zisikae zaid ya nusu saa bila kufika kwa Dr, na kwa nini wanashauri ufanye sex na si punyeto ni kwa sababu kimiminika utakachotumia kinakuwa na kemikali hivyo kinaweza leta shida kikichanganyika na sperm na unaweza enda pima ukajikuta huna uwezo kumbe uwezo unao sababu tu umetumia sabuni au mafuta, njia bora na sahihi ni sex na kufanya withdraw ya sperm kwenye kichupa maalum
 
Punyeto siyo lazma utumie kimiminika dudu kwa paja tu znatoka
 
Kwa Mwanza hapa sperm analysis inafanyika hospitali gani kutoa Bugando?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…