Naombeni kuuliza..

Naombeni kuuliza..

dabluz

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
2,456
Reaction score
1,672
Kuna aliyewahi kutumia dawa za yule Dr Kibona anaejitangazaga kwenye TV anatibu magonjwa mbali mbali kwa miti shamba? Kama yupo naomba alete ushuhuda kwani hata mm nimepatwa na mkasa ambao inabid nimtafute kama huduma zake ni nzuri. Au kama kuna mwingine anaeweza kunielekeza nikapata tiba ya kuongeza ufuaji wa mbegu za kiume kwa wingi maana naona zimeshuka kwa kasi. Tafadhali natanguliza shukrani za dhati kwa wanajukwaa, MSAADA PLZ.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Wadau nasubiri msaada sio masihara..

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom