G gelly mubanga Member Joined Jan 28, 2013 Posts 5 Reaction score 0 Mar 17, 2013 #1 Jamani wataalam nipeni majibu ya utata huu hivi ni kweli kwamba mbu hawezi kueneza virusi vya ukimwi kupitia damu anayo nyonya kwa mwathirika?na kama ndiyo ni kwa sababu zipi
Jamani wataalam nipeni majibu ya utata huu hivi ni kweli kwamba mbu hawezi kueneza virusi vya ukimwi kupitia damu anayo nyonya kwa mwathirika?na kama ndiyo ni kwa sababu zipi
Fadhili Paulo JF-Expert Member Joined Sep 1, 2011 Posts 3,211 Reaction score 993 Mar 17, 2013 #2 UKIMWI si ugonjwa wa kuambukizana. Unaanzia mwilini mwako na kuishia mwilini mwako. Fungua HAPA upate darasa. kila la heri.
UKIMWI si ugonjwa wa kuambukizana. Unaanzia mwilini mwako na kuishia mwilini mwako. Fungua HAPA upate darasa. kila la heri.
D Dr Lairumbe Silangei New Member Joined Mar 17, 2013 Posts 4 Reaction score 2 Mar 17, 2013 #3 with due respect, mimi hili swali sijalielewa. Muuliza swali do you mind kudadavua kidogo swali lako?
with due respect, mimi hili swali sijalielewa. Muuliza swali do you mind kudadavua kidogo swali lako?