afrique..Je
ni mara ya kwanza kwa mpenzi wako kukutana na message za aina hio? Kama
si mara ya kwanza...Akili kum-kichwa...kachoka kuongea mtoto wa watu
hivyo ujipange kama unataka huu uhusiano udumu!! Kama ni mara ya kwanza
na unajua ni ya mwisho, muombe msamaha muyamalize so life
can go on!
As always..... I love you...... Will you marry me?
Kama kawaida darasa lako sitapenda kulikosa pacha..do me a favour please!!
On condition that you leave your sweet and yummy Yummy, your love BADILI TABIA, your everything cacico and the love of your life Kongosho.
Sio lazima iwe hivyo
wengine hutumia 'kukaa kimya kama adhabu'
ili u feel guilty na ili akunyime nafasi ya wewe kudanganya au kuomba msamaha uji feel better...
Ha ha ha ha ha
He he he he he he he
Antili faza notisi
Was l talking to you?
Mwache mwenyewe achague, kati ya kitu adimu kama Kaunga au vitu vya kawaida kama vya kwenu.
Kaizer dearest, dont you think l am worthy that small sacrifice? Wewe huoni kuwa na wake zaidi ya 3 maana yake hajapata mmoja mwenye combination ya kila kitu, hivyo anaishia kupata a bit of everything from them all na bado hajaridhika!
Hiyo ndo dawa ya wasliti!kwa hiyo furaha yako we ni kumtia wivu akuulize?sikiliza wewe afrique mpenzio ameamua kukuacha tu kwani anajua wasaliti walio wengi wakiulizwa wanakana.kwa hiyo ameona hana sababu ya kukuuliza.je akikuuliza ukakataa?unafikiri atafanya nini?atakulazimisha?mpenzi wako ni mstaarabu hataki ugomvi baina yenu.hivi utamuelewa vp mpnz wako endapo amekuta msg za mapenzi ulizokuwa unachat na mtg mwingine na hakuulizi kabisa na umemuona akizisoma
As always..... I love you...... Will you marry me?
On condition that you leave your sweet and yummy Yummy, your love BADILI TABIA, your everything cacico and the love of your life Kongosho.
OMG.... Am doomed!! Popote pale ulipo Kaizer njoo ona nisivyotendewa haki hapa.On condition that you leave your sweet and yummy Yummy, your love BADILI TABIA, your everything cacico and the love of your life Kongosho.
Kitafute ukisome afu uje unisimulie. Afu inakuwaje mambo yangu na wewe ndo mpaka uwashirikishe wake zangu? Hivi unazijua rules za infidelity lakini? Kaizer hebu mpe yale makabrasha...!
Wifey bana, siku hizi hata kusoma katikati ya mistari kumekushinda? Stuka....THINK!!
Kama kawaida darasa lako sitapenda kulikosa pacha..do me a favour please!!