Naombeni maujanja ya kupika Mandi

Naombeni maujanja ya kupika Mandi

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi,

Naombeni maelekezo jinsi ya kupikaa Mandi ya Mbuzi na Kuku.
 
nenda kariakoo radio uhuru mtaa wa kariaku 7000 tena ramadhani usiku huu ramadhani kuna majirisi pale visla,chapat za kumwaga.chezea mandi chakula cha wasomali mie nanunuaga
 
nenda kariakoo radio uhuru mtaa wa kariaku 7000 tena ramadhani usiku huu ramadhani kuna majirisi pale visla,chapat za kumwaga.chezea mandi chakula cha wasomali mie nanunuaga

Naenda sana apo, mtaa wa Tandamti na Lumumba, zamani walikuwa mtaa wa Pemba.

Kuna wengine walikuwa mtaa wa Udoe Felex Hotel.

Kuna wengine wapo Ilala.

Nataka kujua jinsi ya kupika.
 
Naenda sana apo, mtaa wa Tandamti na Lumumba, zamani walikuwa mtaa wa Pemba.

Kuna wengine walikuwa mtaa wa Udoe Felex Hotel.

Kuna wengine wapo Ilala.

Nataka kujua jinsi ya kupika.

sasa si uchukue namba ya mpishi akufundishe jamani
aiseee hiyo kitu ni noma
siku ukitaka visla niambie nikufundishe mkuu
 
sasa si uchukue namba ya mpishi akufundishe jamani
aiseee hiyo kitu ni noma
siku ukitaka visla niambie nikufundishe mkuu

Unajua mie kula ndiyo marwadhwi yangu, ebu nifundishe jamani bahati nzuri nimegundua mie na wewe ni wamoja.
 
Unajua mie kula ndiyo marwadhwi yangu, ebu nifundishe jamani bahati nzuri nimegundua mie na wewe ni wamoja.
poa subiri kwanza nifatilie updates za uchaguzi roho juu
nitakuwekea night au asubuhi.
 
Back
Top Bottom