Naombeni mawazo yenu jamani JF


Kama ulivyosema labda maobmbi,kwa watoto amabo nawao family zao zimekubwa na hali kama hizi za ugomvi ni dhahiri wataungana na mimi kuwa there is no way watoto mkaawa hamhusiki katika udomvi wa wazazi, there is no no any way ukaona mama au baba kaumizwa usihusike there is unless si wazazi wako inauma sana na nihali ambayo kama wewe haijakupata you will never fill it
anyway asnte kwa ushauri na maombi yako pia
 
asnteni kwa wote mliochangia
mawazo yenu yamenipa moyo wa kusonga mbele
natumai am oky now kuliko jana usiku na leo asubuhi
thanks once again the great thinkers team
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…