naombeni mawazo

naombeni mawazo

Phoenix Bird

Member
Joined
Jan 27, 2014
Posts
8
Reaction score
3
wana-forum mimi ni kijana wa miaka 23 ni mwanachuo.. nina malengo ya kuanzisha biashara japo sina uzoefu wa kutosha.. Nina mtaji mdogo sana wa kama milioni moja na bado sijajua ni biashara gani inaweza kuwa na manufaa kwanza as long as sipendi nuajiliwa. hivyo naombeni mawazo yenu juu ya kipi naweza kuinvest katika biashara. please please..naheshimu mawazo yenu yote..
 
Usitegemee ajira sana jaribu kurudi kwenye msing wa mungu kilimo na ufugaji ndio alio pewa adamu na hawa pale edeni kabla hajafukuzwa baada ya kutenda dhambi
 
Back
Top Bottom