Naombeni Mchanganuo wa Gharama za kuanzisha kiwanda kidogo cha Mikate

Naombeni Mchanganuo wa Gharama za kuanzisha kiwanda kidogo cha Mikate

This is...

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
5,050
Reaction score
5,204
Kama kichwa Cha habari hapo juu. Ni kwamba niko katika eneo/wilaya ambayo kwa asilimia zaidi ya 85, watengenezaji na wasambazaji wa hiyo bidhaa ni kutoka katika viwanda vya mjini.

Fursa naiona, kama nitaweza kusambaza hadi maeneo ya ndani vijijini, kwa sababu hawa wanaoleta wanasambaza katika maduka ya barabara kuu, hawaingii vijijini humo.

Nahitaji kuanzisha kiwanda kidogo. Mashine za gharama nafuu zenye Uwezo wa kawaida kiuzalishaji.

Asanteni.
 
Kama kichwa Cha habari hapo juu. Ni kwamba niko katika eneo/wilaya ambayo kwa asilimia zaidi ya 85, watengenezaji na wasambazaji wa hiyo bidhaa ni kutoka katika viwanda vya mjini.

Fursa naiona, kama nitaweza kusambaza hadi maeneo ya ndani vijijini, kwa sababu hawa wanaoleta wanasambaza katika maduka ya barabara kuu, hawaingii vijijini humo.

Nahitaji kuanzisha kiwanda kidogo. Mashine za gharama nafuu zenye Uwezo wa kawaida kiuzalishaji.

Asanteni.
Uko mkoa gan
 
Kama kichwa Cha habari hapo juu. Ni kwamba niko katika eneo/wilaya ambayo kwa asilimia zaidi ya 85, watengenezaji na wasambazaji wa hiyo bidhaa ni kutoka katika viwanda vya mjini.

Fursa naiona, kama nitaweza kusambaza hadi maeneo ya ndani vijijini, kwa sababu hawa wanaoleta wanasambaza katika maduka ya barabara kuu, hawaingii vijijini humo.

Nahitaji kuanzisha kiwanda kidogo. Mashine za gharama nafuu zenye Uwezo wa kawaida kiuzalishaji.

Asanteni.
Hello mashine zipo,ni wewe tuu
 
Back
Top Bottom