Naombeni mnieleweshe namna ya kuchanganya asali mbichi na unga wa mdalasini

Naombeni mnieleweshe namna ya kuchanganya asali mbichi na unga wa mdalasini

GANG MO

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
2,092
Reaction score
2,210
Habari ya jumapili wadau. Nina asali mbichi kiasi cha lita moja. Sasa nataka nichanganye na unga wa mdalasini. Je ni kiasi gani cha unga wa mdalasini natakiwa kuweka kwemye asali lita moja. Naombeni mnieleweshe wadau. Natanguliza shukrani

sent using [emoji85]
 
Habar ni njema mkuu.
Kuna mada nlipost humu kuhusu mchanganyiko huo(japo kuna items nyingine hujaziweka) kutibu ulcers, jaribu kuupitia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom