Naombeni mnieleweshe wapendwa

kaka abdul nimekumiss,umeadimika ktk macho yangu,nafurahi kukuona tena kaka yangu,hopefuly hujambo kaka.

Du we cheusi, mbaona unawatega watu. Sasa unaanza kumuita abdul kaka, ina maana hutaki na yeye aanze kukutongoza. Usizibie watu kwa heshima kubwa kupita kiasi.
 
Du we cheusi, mbaona unawatega watu. Sasa unaanza kumuita abdul kaka, ina maana hutaki na yeye aanze kukutongoza. Usizibie watu kwa heshima kubwa kupita kiasi.

uncle bongolander usiusemee moyo wa abdulhalim,mim na abdul ni mttu na kaka yake na tumetoka mbali,mi na yeye tukitongozana tutahesabika kama ndugu wenye laana.
 
Kama ni mimi ujue namaanisha......
Nikikuita mpenzi ujue kuna siku nitaomba
kitumbua........lol
 
nishapata majibu ya maswali yangu mpenzi the boss.
Nadhani umeamua kukaa mbali na huyo best friend wako........maana ipo siku uvumilivu utamshinda na atakutongoza au wewe ndie utakaemtongoza!
 
uncle bongolander usiusemee moyo wa abdulhalim,mim na abdul ni mttu na kaka yake na tumetoka mbali,mi na yeye tukitongozana tutahesabika kama ndugu wenye laana.

Sawa nimekuelewa sana, lakini naomba mimi usije ukaniweka huko. MImi mwenyewe hapa bado bachelor kwa hiyo usiniwekee vikwazo, hata hiyo uncle naona kama inaanza kunizuia kidogo.
 
huyu rev masanilo ni nani/anahubiri kanisa gani huwa ananifurahisha sana na post zake
Hana maana yeyote kama hajawahi kukuomba tunda! Mbona mimi huwa nawaita wapendwa wapenzi wangu waumini nikiwa sina dhamira ya kuwakwaza! Acha kujishuku.
 
usimuwazie mabaya subiri uone mwisho wake huenda ni maneno tu mpenzi
 
[/QUOTE]

hili nalo neno..linahitaji angalizo
 
Kwetu sisi tusioamini katika urafiki wa kiwango hicho kati ya mwanamke na mwanamme......:A S 8:
 
Cheusi dada yangu maadam ushalijua hilo hebu kuwa mtu mzima; kama nawe umeufeel mzigo msaidie mwenzio...........ya nini malumbano?:becky:
 
huyu rev masanilo ni nani/anahubiri kanisa gani huwa ananifurahisha sana na post zake


Karibu upate funuliwa neno ukapate jua kweli napatikana Masanilo Evangelical Church!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…