Naombeni mnijuze chimbo zuri la kupata mabalo ya t shirt za UK, Canada, dubai au china

Naombeni mnijuze chimbo zuri la kupata mabalo ya t shirt za UK, Canada, dubai au china

Michael Mlay

Member
Joined
Aug 24, 2022
Posts
57
Reaction score
84
Habari za wakati huu Wana jf
Niende mojakwamoja kwenye point, Mimi nipo mkoa x nataka kufanya biashara ya form six and round t- shirts za mtumba grade 1 ,mtaji wangu nilionao ni 400,000.Naombeni mnijuze chimbo zuri la kupata mabalo ya t shirt za UK,Canada ,dubai au china. Pia naombeni ushauri juu ya hii biashara nayotaka kuifanya
 
Habari za wakati huu Wana jf
Niende mojakwamoja kwenye point, Mimi nipo mkoa x nataka kufanya biashara ya form six and round t- shirts za mtumba grade 1 ,mtaji wangu nilionao ni 400,000.Naombeni mnijuze chimbo zuri la kupata mabalo ya t shirt za UK,Canada ,dubai au china. Pia naombeni ushauri juu ya hii biashara nayotaka kuifanya
Njoo in box mimi nauza tshirt new kwa bei poa kila rangi utapata u are welcome njoo in box chap
 
Habari za wakati huu Wana jf
Niende mojakwamoja kwenye point, Mimi nipo mkoa x nataka kufanya biashara ya form six and round t- shirts za mtumba grade 1 ,mtaji wangu nilionao ni 400,000.Naombeni mnijuze chimbo zuri la kupata mabalo ya t shirt za UK,Canada ,dubai au china. Pia naombeni ushauri juu ya hii biashara nayotaka kuifanya
karibu ushauri upewe hapa achana na pm kama mtu yupo wazi akupe mawasiliano hapa na ushauri hapa wazi epuka kutapeliwa.
Mabalo ya mtumba kwa dar maduka yapo yapo mtaa wa narung'ombe kariakoo.
 
Mkuu mkoa X ndo mkoa gani huo samahani lakini ningependa kujua nini kipo behind Mpaka uogope nakuuficha mkoa wako....


Nasema hivo Kwa sababu tungejua mkoa tungekushauri vzr mfano mbeya au Arusha au bukoba unaweza ukapata Mali Safi kuliko hata ya dar believe me...
 
Mitumba sio biashara ya kuingia kichwa kichwa hasa kununua belo?.

Anza kuwa pointa kwanza! Na huu mtaji wako utaipata belo la kilo 40 Moja tu... Mana mtaji huu bado mdogo

Je ukinunua belo Yale mabaya mabaya umepanga kuyapeleka wapi?
 
Habari za wakati huu Wana jf
Niende mojakwamoja kwenye point, Mimi nipo mkoa x nataka kufanya biashara ya form six and round t- shirts za mtumba grade 1 ,mtaji wangu nilionao ni 400,000.Naombeni mnijuze chimbo zuri la kupata mabalo ya t shirt za UK,Canada ,dubai au china. Pia naombeni ushauri juu ya hii biashara nayotaka kuifanya
Kuna maduka mtaa wa Narungombe na Livinstone au nenda mtaa wa Sofia kawawa pale kitumbini.

Nimewahi kueleza humu kupitia Uzi wangu w biashara ya mitumba: uzoefu wangu na utambuzi mwaka jana. Utafute
 
Habari za wakati huu Wana jf
Niende mojakwamoja kwenye point, Mimi nipo mkoa x nataka kufanya biashara ya form six and round t- shirts za mtumba grade 1 ,mtaji wangu nilionao ni 400,000.Naombeni mnijuze chimbo zuri la kupata mabalo ya t shirt za UK,Canada ,dubai au china. Pia naombeni ushauri juu ya hii biashara nayotaka kuifanya
Mkuu, kuna mtu ameleta mabalo ya T-shirts mpya kutoka China, anauza kwa jumla. Minimum order piece 100, bei ya piece 1 Tsh 3,400. Kwa hiyo kwa Tsh 340,000 unapata piece 100. Ukitaka piece nyingi zaidi unapata. Store ipo Dar. Kwa mawasiliano, nitumie msg pm. Karibu
 
Kua makini na PM kiongozi.
Tangazo bila picha/ video clip sw na takataka TU. Dunia ya sasa.
 
Back
Top Bottom