okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
Hello guys
Ni wimbo wa old school, moja ya mashairi yake yanaimbwa hivi,
"Tumeumbwa tupendane na tuishi kwa usawa, baba muumba...yatima ni binadamu anaehitaji kusaidiwa"
Kwa kusikiliza sauti ilioimba mashair hapo juu ni kama ya ferooz ila nimejaribu kuitafta hii nyimbo Google nikaikosa, wanaoijua hii song pls I need ur help guys
Ni wimbo wa old school, moja ya mashairi yake yanaimbwa hivi,
"Tumeumbwa tupendane na tuishi kwa usawa, baba muumba...yatima ni binadamu anaehitaji kusaidiwa"
Kwa kusikiliza sauti ilioimba mashair hapo juu ni kama ya ferooz ila nimejaribu kuitafta hii nyimbo Google nikaikosa, wanaoijua hii song pls I need ur help guys