Naombeni mnisaidie muongozo wa kufundishia lugha ya kiswahili kwa mtu wa nje ya nchi

Naombeni mnisaidie muongozo wa kufundishia lugha ya kiswahili kwa mtu wa nje ya nchi

GANG MO

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
2,092
Reaction score
2,210
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza shukrani

sent using [emoji85]
 
Back
Top Bottom