Asante,mkuu.Jina:Ibrahim Musa
Kabila:Mpare
Elimu:Alisoma PCM Old Moshi...pia ni mwalimu ila sijui kama alikua na diploma au degree
Kazi:Mwanamuziki
Ana mke mmoja na mtoto mmoja wa kiume anaitwa Ivan.Amekulia Tanga ila kwasasa anaishi Dar na family yake.
Nisaidieni wasifu wake.
ohoooooooooooooooooooooooooooooooo!!!Ni kijana anajishughulisha na mziki wa kufoka foka juzi kati kunatetesi kwamba alijiteka.
Jina:Ibrahim Musa
Kabila:Mpare
Elimu:Alisoma PCM Old Moshi...pia ni mwalimu ila sijui kama alikua na diploma au degree
Kazi:Mwanamuziki
Ana mke mmoja na mtoto mmoja wa kiume anaitwa Ivan.Amekulia Tanga ila kwasasa anaishi Dar na family yake.
Kama aliweza kuhadaa (KUDANGANYA) ULIMWENGU na vilivyomo kwa KUJIBADILI jina pasipo KIAPO cha Mahakama... Yaani ni nafuu kama sio bora kwa BASHITE aliye jiita MAKONDA kwa KUAPA Mahakamani..Ni kijana anajishughulisha na mziki wa kufoka foka juzi kati kunatetesi kwamba alijiteka.
Huenda simjui vizur so nataka mjua kinaga ubagaSikutegemea mtu mwenye ID ya kali popote aka Kali P awe hamjui Roma Mkatoliki.
Ahsante mkuuJina:Ibrahim Musa
Kabila:Mpare
Elimu:Alisoma PCM Old Moshi...pia ni mwalimu ila sijui kama alikua na diploma au degree
Kazi:Mwanamuziki
Ana mke mmoja na mtoto mmoja wa kiume anaitwa Ivan.Amekulia Tanga ila kwasasa anaishi Dar na family yake.
Jina lake Ibrahim Mussa, dini Mkristo...!!kumbe vibaya kuliza dini na kabila mkuu
lakini pale tunapohajiwa police au gest huwa pia twauliza dini na kabila au ni kama HALI YA NCHI ATAKESEMA KUNA NJAA ATAKIONA
I am from Netherland i don't know kiswahili vizuri, unaweza kuniandikia kwa kizungu mzee baba?roma ni mwana hip hop ambaye juzi kati alitekwa na kuchukuliwa uvulana wake na watot wa mjini
inasemakan lakn
Ahsante kwa majibuJina lake Ibrahim Mussa, dini Mkristo...!!