majuto mperungu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 394
- 118
Nakumbuka miaka ya nyuma
niliwahi kuwa na mpenzi wangu
ambaye mpaka leo
nimeshindwa kumuelewa alikuwa
akimaanisha nini.Kila
siku alikuwa akifika kulala kwangu
lazima aache nguo yake ya ndani
aliyokuja nayo na yeye kuondoka
bila vazihilo.
Mara ya kwanza na ya pili
sikuona tatizo,lakini zilipofikia
kumi na bado anaziacha
nilishindwa kuelewa
nikamuuliza,sikupata jibu lolote
zaidi ya kicheko na kikafuatiwa na
halohaloooo.Sasa ndugu zangu
naomba msaada alikuwa
anamaanisha nini huyu
mwenzangu?
Mpaka sasa nipo njia panda
cjafahamu alkuwa anamaanisha
nn!
mademu wajanja ukiwapeleka getho unapoish, hupenda kuacha chochocte cha kike, ili kama kuna mwizi akija ajue kuna mwenye nyumba. labda huyo wa kwako alikuwa haji na khanga, akaona nguo rahis ya kuacha ni pichu yake.
vivyo hivyo demu mjanja akija getho kwako usiamuachie upenyo, atafekenyua kujaribu kutafuta chochote chenye alama ya ujio wa mwanamke mwingine.
Hiki ni kitendawili ambacho ndio kwanza leo nikisikie lakini kwa vile unataka uteguzi basi tufikirie labda alikuwa anakusudia kuweka hesabu siku alizolala nawe. Ni rahisi kwa wewe kukumbuka siku ngapi ukizihesabu hizo nguo!
Hiki ni kitendawili ambacho ndio kwanza leo nikisikie lakini kwa vile unataka uteguzi basi tufikirie labda alikuwa anakusudia kuweka hesabu siku alizolala nawe. Ni rahisi kwa wewe kukumbuka siku ngapi ukizihesabu hizo nguo!