Naombeni mnisaidie

dah nikweli hakuna mdada yoyote anae weza kusema ni kwa nini huwa wanafanya hivo???? ngoja nikamuulize bibi halufu...!!!!!
 
mkuuu hatuhitaji kuachiwa Upenyo tukitaka kukuuza tunaweza..
kuna vitu kama harufu perfume , lipstick etc. ambavyo ni ngumu kuondoa harufu..

harufu ya perfume, alama ya lipstick hizo ni ushahidi kama incident ya tukio imefanyika siku hiyohiyo, lakini nguo au chochote cha kike hubaki ndani mpaka mwanamke mwingine hukikuta.

niliposema upenyo namaanisha kumuacha demu hapo getho peke yake kwa muda mreefu mwanaume unatoka, ndio atapekenyua kilakitu kutafuta chochote cha mwanamke ukimkuta atakwambia alikuwa anafanya usafi kumbe alichokuwa anakitafuta ameshakiona.
 
alikuwa anahamia kwako kiujanjaujanja.....mara mzima mzima kwako! ulichomokaje hapo mkuu?
 
anaiacha wapi ambapo siwezi iona nikaificha ili mwenye zamu asiione?
 
hiyo ya kuondoka uchi bila chu^pi ndiyo inaniacha hoi... naona imekaa kinda superstitious vile

hapana superstition kulingana na dini zetu hatuamin inaonekana wewe ni mmoja ya watu wanaoamini ayo mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…