naombeni mnisaidie

Karibu mkuu, ila kasome kwanza sheria za jf ili uishi vzr humu ndani.
Ukisha zisoma njoo sema unachotaka kusaidiwa.
 
aya,ni kweli nilipotea mana mmh mtandao mkubwa kweli kweli,
 
aya,ni kweli nilipotea mana mmh mtandao mkubwa kweli kweli,

kwa hiyo sasa umeshajua pa kuanzia? jisikie huru wewe sema tu unapohitaji msaada utapata hapa ni jukwaa la wastaarabu.karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…