Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Duh pole unaweza tafuta hzo mbili Hila Sasa utatkiwa kufanya bidii kubwa sana bio aina shida hla phy maandalizi yake yanapaswa yawe heavy kdogo Anza Sasa.Nin
nina 2 tu, chemistry na english
Hapo umenifurahisha. Sasa naweza kukusaidia kukupa mawazo kuhusu mada yakoNdio
English sio scienceForm 4 nimemaliza mwaka 2004..nikarisit mwaka 2013 nikapata d chemistry na english kwa upande wa science
πππ endelea na shughuli nyingine, nursing tunataka vijana pure wenye One za PCB!Nina miaka 36, mama wa watoto 2, elimu yangu form 4 nilisoma medical attendant ambapo nimefanikiwa kufungua duka la dawa.
Naombeni mnishauri nataka nianze kusoma mwaka huu kurudia masomo ya O level Ili nijiandikishe kufanya mtihan wa form 4 mwaka 2025, Ili niende nikasome nurse niweze kupata ajira. Nilimaliza form 4 mwaka 2004
Je kwa umri wangu itanisaidia? Naomben mawazo yenu
Aise mm sikutishi ila cha msingi kama una ADDO na umiliki wa hilo duka la dawa ebu endelea na kazi ya duka na usimamie vizuri hiyo biashara utanikumbuka baadae kwa kwa sababu itaingiza kipato kikubwa sana kuliko unavyodhania kuajiliwa serikalini.Nina miaka 36, mama wa watoto 2, elimu yangu form 4 nilisoma medical attendant ambapo nimefanikiwa kufungua duka la dawa.
Naombeni mnishauri nataka nianze kusoma mwaka huu kurudia masomo ya O level Ili nijiandikishe kufanya mtihani wa form 4 mwaka 2025, Ili niende nikasome nurse niweze kupata ajira.
Je kwa umri wangu itanisaidia? Naomben mawazo yenu.
Achana na kusoma, una duka la dawa? Pambana kuendeleza duka lako easy tu.Nina miaka 36, mama wa watoto 2, elimu yangu form 4 nilisoma medical attendant ambapo nimefanikiwa kufungua duka la dawa.
Naombeni mnishauri nataka nianze kusoma mwaka huu kurudia masomo ya O level Ili nijiandikishe kufanya mtihani wa form 4 mwaka 2025, Ili niende nikasome nurse niweze kupata ajira.
Je kwa umri wangu itanisaidia? Naomben mawazo yenu.
Hahaha daaah asee!Nina miaka 36, mama wa watoto 2, elimu yangu form 4 nilisoma medical attendant ambapo nimefanikiwa kufungua duka la dawa.
Naombeni mnishauri nataka nianze kusoma mwaka huu kurudia masomo ya O level Ili nijiandikishe kufanya mtihani wa form 4 mwaka 2025, Ili niende nikasome nurse niweze kupata ajira.
Je kwa umri wangu itanisaidia? Naomben mawazo yenu.
NaamAise mm sikutishi ila cha msingi kama una ADDO na umiliki wa hilo duka la dawa ebu endelea na kazi ya duka na usimamie vizuri hiyo biashara utanikumbuka baadae kwa kwa sababu itaingiza kipato kikubwa sana kuliko unavyodhania kuajiliwa serikalini.
Swala la kuajiliwa n black zone my friend hata kama ukibahatika kuajiriwa ujue umeingia kwenye kifungo huru.
Amini amini nakuambia,
HahahaNi sawa mkuu bado kwa umri wako unaruhusu mbona kina Gentamycline walianza vidudu na miaka35
UmechelewaNina miaka 36, mama wa watoto 2, elimu yangu form 4 nilisoma medical attendant ambapo nimefanikiwa kufungua duka la dawa.
Naombeni mnishauri nataka nianze kusoma mwaka huu kurudia masomo ya O level Ili nijiandikishe kufanya mtihani wa form 4 mwaka 2025, Ili niende nikasome nurse niweze kupata ajira.
Je kwa umri wangu itanisaidia? Naomben mawazo yenu.