naombeni mnitoe matongotongo kuhusu hili

GANG MO

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
2,092
Reaction score
2,210
kila siku ninapotizama taarifa ya habari ITV. Katika habari za biashara na uchumi huwa naona wanaongelea kuhusu TAARIFA YA MIFUKO YA UTT AMIS. wana jf, naombeni mnieleweshe
1. mifuko ya UTT AMIS ni nini?
2. ina umuhimu gani kwa watanzania?

karibuni kwa michango yenu wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…