Naombeni msaada jamani.

Joined
Nov 16, 2018
Posts
18
Reaction score
21
Naomba msaada wako Doctor wa JF naomba unifahamishe na unielimishe kwamba kutokwa na Uchafu mweusi Ukeni unasababishwa na njia ya Uzazi wa mpango wa njia ya Vijiti?
 
[emoji54][emoji54][emoji54]....
Amekuambia huo uchafu unasababishwa na hiyo njia ya uzazi wa mpango? Nawewe ukaona ni sahihi?

Umesema uchafu....je una harufu?
Unatoka kipindi gani?

Fanya umpeleke hospitali, kwa uchunguzi zaidi.

Sijawahi sikia Njia ya uzazi wa mpango inayosababisha kutokwa na uchafu mweusi ukeni...
 
Hautoi harufu na piah hauna mda maalum wa kutoka yaani kama mwanamke akiwa period vile anavyokuwa jinsi anavyokuwa na unatoka kama ute ute flan hiv.
 
Hautoi harufu ilah labla kama ulivyosema kuwa inawezekana ikawa ni damu ya zamani ndio inatoka.
Kama unatoka baada ya sex au katikati ya siku zake...(baada ya kumaliza na kabla ya kuipata)

Kuna uwezekano akawa na tatizo kwenye shingo ya kizazi.

Nivizuri ukampeleka hospitali wajue na historia yake na hicho Kijiti kujua kama mwili wake umekubaliana nacho au bado...

Yawezekana bado kijiti hajikaweka mzunguko wake wa hedhi sawa sawa.... Mkawaone wataalamu waliomwekea hicho kijiti na vipimo vingine vichukuliwe....
 
Sawah nashukuru kwa ushauri wako mzuri na wenye manufaa ilah mwezi uliopita hakuingia mwezini kabisa na baada ya hapo ndio limeanza tatizo hilo na hivyo vijiti ameweka mwezi wa 9 mwanzoni mwaka huu.
 
Sawah nashukuru kwa ushauri wako mzuri na wenye manufaa ilah mwezi uliopita hakuingia mwezini kabisa na baada ya hapo ndio limeanza tatizo hilo na hivyo vijiti ameweka mwezi wa 9 mwanzoni mwaka huu.
Bila shukrani.

Basi kuna uwezekano Mkubwa, mwili bado unakubaliana na hizo hormones....
Huchukua mda kwa mwili kusettle.....(wengine hata Miezi 3 hadi 6) inategemeana na mtu na mtu.
Alipaswa kujua haya kabla yakuwekewa ili ajiandae na matokeo kama hayo bila hofu.
 
Elimu hiyo tulipewa kabla hajawekewa maana tulikuwa wote ila nimeomba msaada huu huku ili kuondoa hofu baina yangu na mwenzangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…