Naombeni msaada jamani


nimependa sn ushauri wako!maan ni kama umesoma mawazo yetu!asante
 

na ugumu unaongezeka zaidi pale support ya wazazi inapokosekana!
 
ni makubaliano yenu nyie wawili mliopendana , mkikubaliana kuhusu izo iman zenu bs inatosha.
wazaz mnawaweka 2 sawa, me nadhan dini sio big deal kiivyo. kama mmependana u discus n then u conclude bs.

naomba unipe njia za kuwaweka sawa wazazi,utakuwa umenisaidia sn!
 

halafu nilikuwa sijajua kama nimekuwa na xtended family,ndio umenizindua!
 
Sijui kama kuna faida zake, manake utofauti wa kiimani ni changamoto kubwa sana. Ninachokushauri,zungumzeni nyie wawili kwa upana sana,na katika yote hakikisheni mnawashirikisha wazazi wenu,manake nyie mnaweza kuwa hamna tatizo ila wazazi ambao ni kiungo muhimu wakawa na tatizo....haipendezi mwanaume aende msikitini na mwanamke aende kanisani, inahitaji hekima sana kuishi maisha yenu yote hivyo, jadilini hili kwa upana na uhalisia mapema kabisa,mkikubaliana na changamoto go ahead!1
 
Huwa sishauri mtu kubadili dini kwa sababu ya mume au mke,bali mafundisho ya imani husika tu.mfano unaenda dini ya mume ni mkristo ,je Unampenda Yesu? ,umewahi kusikia habari zake,siyo unanyanyuliwa tu na kupachikwa kwenye dini ambayo kwa zaidi ya miaka 20 huijui na huyo anayekupenda siyo pastor au sheikh atakulazimisha kufuata ya kwake wakati utayari wa kiroho haupo bali mpo pale kimwili tu na kila imani ina namna yake kutafsiri ndoa!ni bora ujifunze kwa ufupi imani ya huyo umpendaye na uone ktk mahusiano utaathirika vipi.Ziko imani zinaruhusu wake wengi (talaka)uko tayari kumpokea mwenzako mbeleni.?Dini inatoa picha aina ya uhusiano wa ndoa utakavyokuwa ,sasa kama mwingine anaomba kwa Jina La Yesu na mwingine la Mtume,mtaleta machafuko kwenye uhusiano na unaweza ujute maisha yako yote!sio kwamba wenye imani mfanano hawana shida ,ila ugumu unapungua.
 

Nashukuru sana kwa ushauri jamani,maana naona wotemko positive sana asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…