Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu heshima kwenu,
Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni msaada tafadhali nimetumia zile njia za kikamanda kubonyeza power button na volume button Kwa wakati mmoja imefikia sehemu sasa inataka niunganishe Wi-Fi nimekwama hapo.
Msaada tafadhali
Ni pm namba yako nikuelekeze mkuuWakuu heshima kwenu,
Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni msaada tafadhali nimetumia zile njia za kikamanda kubonyeza power button na volume button Kwa wakati mmoja imefikia sehemu sasa inataka niunganishe Wi-Fi nimekwama hapo.
Msaada tafadhali
Kwani wewe ni fundi, achana na hayo mambo bhanaWakuu heshima kwenu,
Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni msaada tafadhali nimetumia zile njia za kikamanda kubonyeza power button na volume button Kwa wakati mmoja imefikia sehemu sasa inataka niunganishe Wi-Fi nimekwama hapo.
Msaada tafadhali
Ulisahau kufuta account mkuu ndo maana lakini nicheki PM nikupe maelezoWakuu heshima kwenu,
Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni msaada tafadhali nimetumia zile njia za kikamanda kubonyeza power button na volume button Kwa wakati mmoja imefikia sehemu sasa inataka niunganishe Wi-Fi nimekwama hapo.
Msaada tafadhali
Unapatkana wapi?
Mkuu hapo ulipofikia msaada pekee ni hii comment hapa. Kama simu ni yako na unakumbuka email na password iliyokuwemo humo kabla hujafomart hiyo simu. Tofauti na hapo tafuta somo la ku bypass mkuu achana na habari za ku flash.Kama inakudai Wi-Fi tafuta ndugu yako hapo akuwashie hotspots then connect internet then ingiza email yako uliyokuwa inatumia
Done
Zinatesa sana mzee ila ugumu unakuja pale hataki kuweka wazi kama email anakumbuka na ingekuwa rahisi kwakeMkuu hapo ulipofikia msaada pekee ni hii comment hapa. Kama simu ni yako na unakumbuka email na password iliyokuwemo humo kabla hujafomart hiyo simu. Tofauti na hapo tafuta somo la ku bypass mkuu achana na habari za ku flash.
Zinatesa sana mzee ila ugumu unakuja pale hataki kuweka wazi kama email anakumbuka na ingekuwa rahisi kwake
Hapo ndo penye utatat maana haina namna mpaka ku bypass frpHii changamoto nakutana nayo sana. Unakuta mtu amenunua simu aliyemuuzia ndiye kamfungilia email na password anaijua muuzaji shughuli inakuja siku ame restore hiyo simu, email wala password hazikumbuki.