Neema j swai
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 177
- 103
Habari zenu? Et kama umejikata bahati mbaya na kiwembe kilichotumiwa na mtu aliyeathirika anayetumia ARV kuna uwezekano wa kupata maambukizi japo mwenyew anasema hakujikata na hicho kiwembe ila kumwamin kama hakujikata kwel Bdo vigumu