Ngaramtoni
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 430
- 61
wanajukwaa,mara nyingi nimeona watu mbalimbali wanapokwama katika jambo lolote hili jukwaa limekuwa msaada mkuwa sana na mimi pia ni shaidi ktk hilo,kwa mara nyingine naomba msaada au muongozo katika hili nitakalo lisema hapa leo,kuna mtu wangu wa karibu amemaliza diploma mwaka jana,mwaka huu tumepanga ajiunge na elimu ya juu bachelor,baada ya kupitia maelezo ya TCU na NACTE zinaonyesha kuwa payment mode kwa waliomaliza diploma ni through m-pesa.siku ya jumapili ndo tukaamua kuanza mchakato huo kwa kulipia hiyo application fee ambayo ni sh hamsini elfu,baada ya kufuata maelekezo yote tulimaliza vizuri na tukapata confirmation text toka vodacom kuwa kiasi hicho kimetumwa kwenye account ya NACTE.ambacho kimetukwamisha hadi sasa ni kwamba hatujapata pamyment confirmation code ambayo ndo inatakiwa wakati wa kufanya applicatin through Central Admission System CAS.nisaidieni hapo nifanyaje nipate hiyo code manake siku ya tatu sasa na hakuna kinachoendelea?michango Yenu ndo msaada wangu,nawasilisha