Naombeni msaada kuhusu hili

Naombeni msaada kuhusu hili

Epafras

Member
Joined
May 15, 2015
Posts
78
Reaction score
27
Hivi TRA kufunga duka wakati mimi sipo dukani ni kosa kufanya ivo au si kosa??
 
TRA wana kanuni na taratibu zao ambazo sheria imewapa, moja ya utaratibu wao ni kuwadhibiti wale wasumbufu wao kwa kuyafunga maduka au biashara zao kwa any means necessary ili kumkumbusha mwenyebiashara kulipa kodi haraka kabla hatua zingine kufuata. Wako sawa.
 
Kama hakuna wanachokudai na hawajawai kukusumbua kwa lolote basi wamefanya kosa kubwa sana na wewe utalipwa fidia kwa kadri ya muda waliokupotezea na maingizo ya biashara husika, lakini kama ukiamua swala hili ulisongeshe kisheria zaidi.
 
Back
Top Bottom