TRA wana kanuni na taratibu zao ambazo sheria imewapa, moja ya utaratibu wao ni kuwadhibiti wale wasumbufu wao kwa kuyafunga maduka au biashara zao kwa any means necessary ili kumkumbusha mwenyebiashara kulipa kodi haraka kabla hatua zingine kufuata. Wako sawa.