Wakuu nina dogo langu anataka kurudia mtihani wa private candidate ila ana uliza kuhusu format ya mtihani huo kama una tofauti na ule watakao fanya 4m4 wa sekondari? Je una ugumu
Wakuu nina dogo langu anataka kurudia mtihani wa private candidate ila ana uliza kuhusu format ya mtihani huo kama una tofauti na ule watakao fanya 4m4 wa sekondari? Je una ugumu
Ila kuanzia mwaka jana kinataofauti na miaka mingine, kama anarisit masomo saba atafanya mitihani 14., kwa maana paper 1 na2.. Ni pagumu awe tu seriousy if he ia not serious kufeli njenje