Naombeni msaada kwa anayefanya biashara Comoro

Naombeni msaada kwa anayefanya biashara Comoro

luje

Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
21
Reaction score
8
Napenda kufanya biashara Comoros ya kupeleka mbuzi mwenye uzoefu wa hii biashara naomba msaada wake na biashara nyingne pia ambazo mtaji wake maximum M15, awe mzoefu anae kwenda kila siku.
 
Napenda kufanya biashara Comoros ya kupeleka mbuzi mwenye uzoefu wa hii biashara naomba msaada wake na biashara nyingne pia ambazo mtaji wake maximum M15, awe mzoefu anae kwenda kila siku.
Usikurupuke, Wacomoro sasa hivi wamejaa Dar, tafuta taarifa sahihi.
 
Back
Top Bottom