Elizabeth Eliase
Member
- Sep 15, 2017
- 18
- 10
Habari jamani, nduguzangu poleni na majukukumu, naomba msaada wenu kuku wangu wana shida moja, kwenye kutotoa ukute kuku ana mayai 12 lakini anatotoa machache Sana naombeni msaada wenu juu ya hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watengenezee kiota vizuri.
Hapa nimepata somo,nilikuwa naweka mayai yaliozidi siku 10 matokeo yake mengi hayakutotolewa,kumbe ni chini ya siku 10..Angalia chanzo cha mayai yako mayai yanayoweza kuangulika vyema yasiwe yamekaa siku nyingi(vizuri chini ya siku 10),yasiwe yamechafuliwa kinyesi cha kuku,yahifadhiwe sehemu isiyokua na joto na yenye mzunguko wa hewa,hifadhi sehemu ya iliyochongoka ikiangalia chini,usichague mayai makubwa sana kwa ajili ya kutamia tumia ya size ya kati