Naombeni msaada na mwelekezo mzuri kuhusu magari ya 'automatic'

Naombeni msaada na mwelekezo mzuri kuhusu magari ya 'automatic'

Ndembo Bravo

New Member
Joined
Nov 8, 2016
Posts
2
Reaction score
2
Katika gari ya automatic hizi namba na herufi katika gia zina msaada gani na kazi gani? Mfano 'R' inatumika kurudi nyuma, 'D' inatumika kama kwenda mbele. Je. hizo N, 2 na 1 zina kazi gani?
f9781c6481f87706732e8bfa471936de.jpg
 
Kwa uelewa wangu N ni NEUTRAL ni kama free ktk manual, na moja na mbili ni gear zilivyo ivo, kwa mfano unapanda mlima mkubwa sana na pia ukiwa umekwama ktk tope hauwezi tumia D mana utaktwa unatwaga maji ktk kinu
 
N ni kama neutral
2 en 1 ni kama four wheel drive ya kwenye manual
 
lol gear box skuiz ziko mpaka za laki sita unabaki na Auto mpaka lije likuuwe ?
 
Back
Top Bottom