Naombeni msaada na ushauri wana JF doctor

Mulangila Mukuru

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2010
Posts
1,945
Reaction score
728
Jamani mwenzenu kuna tatizo limenianza hivi karibuni nahisi ninaumwa.

Ni kwamba kila ninapohisi kwenda haja ndogo nikiibana kidogo au kwa bahati mbaya nikikuta kuna mtu masalani nikalazimika kusubiri nabanwa sana kwa ghafla mpaka nahisi haja ndogo inatoka yenyewe

Kwa sasa nalazimika kukojoa kila mara ili isje ikatokea nikabanwa ili hali hii isinitokee.

Naomba ushauri wenu ndugu zangu.Mi ni mwanaume wa miaka 30.
 
Pima UTI coz ni dalili mojawapo,hata mimba pia kama we ni mwanamke.
 
Mkuu.@Muangila Itabidi uende kwanza ukaangaliwe kwa vipimo maalum na Daktari muhusika wa hayo matatizo yako kisha ndio uje hapa kutupa Feedback. Mkuu wahi kwanza kumuona Daktari kuliko kupata ushauri hap wakati hujaende kuwaona wanohusika Hospitalini asante.
 
Polesana!jitaidi upime UTI ujue kama ndo yenyewe inakusumbua ama raa.pia tatzo ulilonalo ni dalili mojawapo ya magonjwa ya tezi dume ambapo ukikawia kutibu husababisha prostate cancer.pia kwa jinsi ulivyosema hiyo ni dalili mojawapo ya prostate anlargement.hali hii huwa inaanza hivyo.Pia usijali sana ninadawa zinazotibu matatzo hayo kwa ufasahazaidi.ni dawa za mitishamba zinatibu matatzo hayo kwa 100%.wengi znawatibusana.kwa meng zaid ntafute 0759217720
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…