Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Sina mkuu nipo na 30000 tu haitoshi kwa vinywaji walivyochukuaFungua waleti hiyo,ulipie vinuwaji.acha ubahili..pesa zinatafutwa.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Humu jamii forum Kuna watu wanakera sana, yaani mtu yupo serious lakini Kuna misambwanda inaandika ushuzi tuUza hiyo simu ili ulipe bili.
Wewe ndo haupo serious huyo jamaa mbona amekupa ushauri mzuriHumu jamii forum Kuna watu wanakera sana, yaani mtu yupo serious lakini Kuna misambwanda inaandika ushuzi tu
acha hasira.Humu jamii forum Kuna watu wanakera sana, yaani mtu yupo serious lakini Kuna misambwanda inaandika ushuzi tu
Sasa nikiuza simu mitasomaje ushauri wenu jamii forumWewe ndo haupo serious huyo jamaa mbona amekupa ushauri mzuri
Ushamba tu umewasumbua na hawana hata Mia wapo wapo tu ni dada zangu wa damuVile ambavyo wamefungua lipia mkuu, vile ambavyo bado waambie warudishe. Isitoshe kama ni dada zako kweli huwezi kuwaonea aibu, utawapa makavu uwezo wako mfukoni ili waone mnafanyaje, maybe wao wako vizuri.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] SurePole sana. Siku nyingine usimwambie mtu kwamba utalipia hadi atakapo agiza.
Unataka ushauri au mchnago. Oh umesema ushauri.Jamani nipo hapa magomeni usalama kisuma bar nimekuja na Dada zangu wametoka mpwayungu dodoma nikawaambia waagize vinywaji mm naenda toilet.
Sasa chakushangaza nimetoka maliwato Ile nafika wote wawili wameagiza savanna nane yaani kila mtu nne nne. Nimepigwa na butwaa maana hivi vinywaji imported hapa kisuma ni 5000 namm nimekuja na hela ya eagle na pliziner tu vinginevyo hii ni kesi. Sasa nimekuja haraka humu jukwani center of intelligence mnipe ushauri wa haraka vinginevyo tutaitwa vibaka hapa.
Nenda tena chooni,afu pita hiviJamani nipo hapa magomeni usalama kisuma bar nimekuja na Dada zangu wametoka mpwayungu dodoma nikawaambia waagize vinywaji mm naenda toilet.
Sasa chakushangaza nimetoka maliwato Ile nafika wote wawili wameagiza savanna nane yaani kila mtu nne nne. Nimepigwa na butwaa maana hivi vinywaji imported hapa kisuma ni 5000 namm nimekuja na hela ya eagle na pliziner tu vinginevyo hii ni kesi. Sasa nimekuja haraka humu jukwani center of intelligence mnipe ushauri wa haraka vinginevyo tutaitwa vibaka hapa.
Shida ni kusoma ushauri au ni kulipia vinywani? ukiuza simu utalipia vinywaji.Sasa nikiuza simu mitasomaje ushauri wenu jamii forum
Ukisema wachange watasema nitoe namba, Sasa swala la kutoa namba yangu ya simu humu jamii forum ni hatari zaidi.Unataka ushauri au mchnago. Oh umesema ushauri.
Wambie wachangie
Afu ni waache na naniNenda tena chooni,afu pita hivi
Unapajua kisuma au unaropoka tuNjoo hapa chumba namba 13 ukiingia mlango wa nyuma nikukopeshe
Umetaka tukupe ushauri halafu unanipangia ushauri wa kukupa? Basi pambana na hali yako.Humu jamii forum Kuna watu wanakera sana, yaani mtu yupo serious lakini Kuna misambwanda inaandika ushuzi tu