bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
Jambo Tanzania,
Naombeni msaada wa haraka wa kuelimishwa kuhusu HOMA YA MANJANO(Yellow Fever)
Wakuu ktk pitapita zangu kwenye taasisi moja ya kutoa elimu(Shule)Nimekutana na mtoto mmoja ambaye ana dalili zifuatazo:
=Macho yake ni ya njano
=Pia kucha zake nazo zinaelekea kuwa na rangi ya njano
=Katumbo kake kama kakubwa kidogo japo inasadikika mtoto huyo anapenda sana kula
Hizo ni baadhi ya dalili ambazo nimeziona Nimeingiwa na hofu baada ya kusikia watu wakiisema ni homa ya manjano japo sio madaktari but nikavuta picha kuhusiana na ile condition kuwa ili uweze kwenda nje ya nchi lazima upate ICV(International Certificate of Vaccination)baada ya kuchanjwa chanjo yake sasa nikahisi ni ugonjwa hatari.
Mara ya kwanza nilikutana na huyu mtoto mtaani nikapatwa na shauku ya kumfuatilia ili nijaribu kumsaidia kwa kadri ndipo nilipoelekezwa kuwa ni mwanafunzi wa darasa II ktk shule moja hv.
Cha ajabu nimefika pale na kukutana na MWL Mkuu na kuzungumza nae binafsi nimeshangaa coz wao hawana wasiwasi na ugonjwa huo na wanamtambua huyo mtoto,kiukweli nikajiuliza je km ndio hiyo yellow fever hawezi kuwaambukiza kwa hao watoto wengine wanaosoma nae??
Tafadhali wajuvi wa tiba naombeni msaada hasa elimu kuhusu hii YELLOW FEVER.Zifuatazo chini ni Picha za hako katoto.
Sincerely,bachelor Sugu.
Naombeni msaada wa haraka wa kuelimishwa kuhusu HOMA YA MANJANO(Yellow Fever)
Wakuu ktk pitapita zangu kwenye taasisi moja ya kutoa elimu(Shule)Nimekutana na mtoto mmoja ambaye ana dalili zifuatazo:
=Macho yake ni ya njano
=Pia kucha zake nazo zinaelekea kuwa na rangi ya njano
=Katumbo kake kama kakubwa kidogo japo inasadikika mtoto huyo anapenda sana kula
Hizo ni baadhi ya dalili ambazo nimeziona Nimeingiwa na hofu baada ya kusikia watu wakiisema ni homa ya manjano japo sio madaktari but nikavuta picha kuhusiana na ile condition kuwa ili uweze kwenda nje ya nchi lazima upate ICV(International Certificate of Vaccination)baada ya kuchanjwa chanjo yake sasa nikahisi ni ugonjwa hatari.
Mara ya kwanza nilikutana na huyu mtoto mtaani nikapatwa na shauku ya kumfuatilia ili nijaribu kumsaidia kwa kadri ndipo nilipoelekezwa kuwa ni mwanafunzi wa darasa II ktk shule moja hv.
Cha ajabu nimefika pale na kukutana na MWL Mkuu na kuzungumza nae binafsi nimeshangaa coz wao hawana wasiwasi na ugonjwa huo na wanamtambua huyo mtoto,kiukweli nikajiuliza je km ndio hiyo yellow fever hawezi kuwaambukiza kwa hao watoto wengine wanaosoma nae??
Tafadhali wajuvi wa tiba naombeni msaada hasa elimu kuhusu hii YELLOW FEVER.Zifuatazo chini ni Picha za hako katoto.
Sincerely,bachelor Sugu.